Back to Languages

    Swahili - Chapter 97

    Translation by Ali Muhsin Al Barwani

    Verse 1

    Hakika Sisi tumeiteremsha Qur'ani katika Laylatul Qadri, Usiku wa Cheo Kitukufu

    Verse 2

    Na nini kitacho kujuulisha nini Laylatul Qadri

    Verse 3

    Laylatul Qadri ni bora kuliko miezi elfu

    Verse 4

    Huteremka Malaika na Roho katika usiku huo kwa idhini ya Mola wao Mlezi kwa kila jambo

    Verse 5

    Amani usiku huo mpaka mapambazuko ya alfajiri